Mtanzania aliyekufa Ukraine alifungwa na baadaye kujiunga na Wagner
Mtanzania aliyeuawa nchini Ukraine alikuwa amefungwa jela kwa uhalifu na baadae kujiunga na kundi la Urusi la Wagner akiwa kifungoni.
Kwa mijibu wa Waziri wa mambo ya nje ya Tanzania Bw Tarimo aliahidiwa pesa na uhuru wake mara baada ya kukubali kujiunga kisha kupigana vita huko Ukraine.
Kwa mujibu wa Waziri Stergomena Tax, mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.
Ingawa Waziri huyo hakuweka wazi ni uhalifu gani huo lakini wakati akitumikia kifungo hicho alihaidiwa pesa na uhuru ili akatumikie Urusi vitani huko Ukriane.
#bbcswahili #tanzania #uhalifu
21 Aug 2025
- The suspects had several other fake travel certificates in his possession.
21 Aug 2025
- The women were abducted 152 kilometres away.
21 Aug 2025
- President Ruto is expected to fly to the US in September.
21 Aug 2025
- On Wednesday, members of the Kitengela Inter-Estates Liaison Association (KIELA) and the Kitengela-Municipality Alliance of Residents' Associations (K-MARA) inspected the vehicle at Kajiado Police Station, accompanied by OCPD Isinya.
21 Aug 2025
- The Maasai Mara National Reserve has clarified on an unsettling incident where tourists were seemingly obstructing wildebeest crossing.
21 Aug 2025
- A senior Ugandan official denied on Wednesday a U.S. media report that the country had agreed to take in people deported from the United States, saying it lacked the facilities to accommodate them.
21 Aug 2025
- Kenya is in talks with China to convert a dollar-denominated railway loan into Chinese yuan, an aide to the finance minister, John Mbadi, told Reuters on Wednesday.
21 Aug 2025
- A 28-year-old man arrested in Kasarani, Nairobi, for allegedly making false documents is set to be arraigned in court on Thursday.
21 Aug 2025
- “I had to do everything in my power to keep my sexuality hidden," he told The Guardian.
21 Aug 2025
- Ian Cameron and two other MPs were returning from a work trip when their vehicle was ambushed in the township of Philippi.
21 Aug 2025
- An aid convoy operated by the UN's World Food Programme (WFP) came under attack on Wednesday near the famine-hit Sudanese town of Mellit in North Darfur, the agency's spokesperson told AFP.
21 Aug 2025
- A fire on a US Navy ship off Japan was finally put out after 12 hours early Thursday, the US military said, after local vessels spent most of the night dousing the blaze.
21 Aug 2025
- The suspects had several other fake travel certificates in his possession.