- 187 views
Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi, ambaye pia ni waziri wa masuala ya kigeni anahudhuria kongamano la kumi na moja la mawaziri wa kamati ya muungano wa afrika mjini Algiers, nchini Algeria. kamati hiyo ina jukumu la kushinikiza mabadiliko kwenye baraza la umoja wa mataifa kuhusu usalama -UNSC- Ikiwemo uwakilishi wa Afrika kwenye baraza hilo.Mudavadi atahudhuria mkutano wa mawaziri baadaye hii leo mjini Algiers. baadhi ya mataifa wanachama wa kamati hiyo ni pamoja na Uganda, Namibia, Sierra Leone, Libya, Equatorial Guinea, Senegal, Zambia, DRC na Algeria. wiki iliyopita, mudavadi alizindua kamati ya pamoja ya kuendesha kampeni ya kumpigia debe raila odinga kuwa mwenyekiti wa tume ya muungano wa afrika AUC.
Mudavadi ahudhuria mkutano wa mawaziri wa kamati ya muungano wa Afrika mjini Algiers
- 22 Jun 2025 - A woman suspected of conning a Chinese national $101,000 (Ksh.13, 049, 200) in a fraudulent trade deal had been arrested.
- 22 Jun 2025 - President Donald Trump said US air strikes on Sunday "totally obliterated" Iran's main nuclear sites, as Washington joined Israel's war with Tehran in a flashpoint moment for the Middle East.
- 22 Jun 2025 - The Democratic Republic of Congo has extended by three months a ban on exports of cobalt intended to curb oversupply of the electric vehicle battery material, a regulatory agency said on Saturday.
- 22 Jun 2025 - Italian Prime Minister Giorgia Meloni said on Friday she was working with the European Union on a debt-relief initiative for African states - part of Rome's efforts to help development in Africa and address the root causes of mass migration.
- 22 Jun 2025 - Several hundred armed men, many on motorbikes, attacked a Niger army base near the border with Mali, leaving at least 34 soldiers dead and 14 wounded, the Defence Ministry said.
- 22 Jun 2025 - At least eight people were killed Saturday when a hot air balloon with 21 passengers caught fire in southern Brazil, said the governor of Santa Catarina state, where the incident occurred.
- 22 Jun 2025 - The county government has launched a crackdown on the businesses.
- 22 Jun 2025 - The changes were made during a closed-door meeting with COTU last week.
- 22 Jun 2025 - How Mbadi sneaked back, surpassed rejected 2024 budget
- 22 Jun 2025 - Gen Zs never left, they changed lanes from streets demos to the podcast mic