- 6,211 viewsDuration: 2:32Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen sasa anasema kuwa Idara ya Upelelezi imeanza rasmi uchunguzi kuwahusu watu walioonekana wamejihami na kutawala Ol Kalou wakiwa wamejifunika nyuso wakati wa uchaguzi mdogo wa Ol Kalou. Murkomen amesema watakaojulikana na kupatikana na hatia watashtakiwa. Waziri huyo pia ameonya magenge yaliyohusishwa na uvamizi wa mkutano wa serikali huko Trans Nzoia hapo jana. Seth Olale anatufungulia jamvi la Nipashe jioni ya leo.