- 857 viewsMwanakijiji kutoka Uganda, Musa Hasahya Kasera, anasema familia yake kubwa inajumuisha wake 12, watoto 102 na wajukuu 578. “Nimekuwa na matatizo mengi, kutafuta fedha za karo ya shule, kutoa chakula kwa kila mtu, kutafuta nguo na fedha za kusaidia endapo mtu anaumwa,” alisema mzee wa miaka 68 ambaye alipendekeza wake zake wachukue vidhibiti vya uzazi ili familia yao iache kukua. Kuoa wake wengi ni halali nchini Uganda, nchi yenye viwango vya juu zaidi vya kuzaliwa duniani, ambapo ni asilimia 50 tu ya wanawake wanapata udhibiti wa kisasa wa uzazi, kulingana na UN Women. "Alipoleta mwingine (mke), nakumbuka nilijisikia vibaya sana na hasira. Lakini baada ya muda nilizoea yote," alisema mke wa tatu wa Masa, Zabina Hasahya. #bbcswahili #uganda #familia
Musa Hasahya Kasera: 'Nina wake 12, watoto 102 na wajukuu 568'
- 21 Aug 2025 - On Wednesday, members of the Kitengela Inter-Estates Liaison Association (KIELA) and the Kitengela-Municipality Alliance of Residents' Associations (K-MARA) inspected the vehicle at Kajiado Police Station, accompanied by OCPD Isinya.
- 21 Aug 2025 - The Maasai Mara National Reserve has clarified on an unsettling incident where tourists were seemingly obstructing wildebeest crossing.
- 21 Aug 2025 - A senior Ugandan official denied on Wednesday a U.S. media report that the country had agreed to take in people deported from the United States, saying it lacked the facilities to accommodate them.
- 21 Aug 2025 - Kenya is in talks with China to convert a dollar-denominated railway loan into Chinese yuan, an aide to the finance minister, John Mbadi, told Reuters on Wednesday.
- 21 Aug 2025 - A 28-year-old man arrested in Kasarani, Nairobi, for allegedly making false documents is set to be arraigned in court on Thursday.
- 21 Aug 2025 - “I had to do everything in my power to keep my sexuality hidden," he told The Guardian.
- 21 Aug 2025 - Ian Cameron and two other MPs were returning from a work trip when their vehicle was ambushed in the township of Philippi.
- 21 Aug 2025 - An aid convoy operated by the UN's World Food Programme (WFP) came under attack on Wednesday near the famine-hit Sudanese town of Mellit in North Darfur, the agency's spokesperson told AFP.
- 21 Aug 2025 - A fire on a US Navy ship off Japan was finally put out after 12 hours early Thursday, the US military said, after local vessels spent most of the night dousing the blaze.
- 21 Aug 2025 - The suspects had several other fake travel certificates in his possession.