Skip to main content
Skip to main content

Muungano wataka watoto wenye ulemavu wajumuishwe kikamilifu katika mpango wa SHA

  • | Citizen TV
    360 views
    Duration: 2:01
    muungano wa kutetea haki za walezi wa watoto wenye ulemavu nchini (ncp-cdk)umeitaka serikali, kupitia Idara ya Watoto, kuhakikisha watoto wenye ulemavu wanasajiliwa katika mpango wa SHA ili waweze kupata huduma bora za afya.