Mvua na upepo mkali vyashuhudiwa Florida Kimbunga Debby kikipiga
Watabiri wa hali ya hewa walitahadharisha Jumatatu kuhusu dhoruba ya kimbunga inayotishia maisha, yenye viwango vya juu vya mvua na mafuriko yenye maangamizi katika eneo la kusini mashariki mwa Marekani wakati Kimbunga Debby kikiathiri pwani ya Ghuba ya Florida.
Kituo cha Taifa cha Kimbunga Marekani¸ NHC, kilisema kimbunga hicho kina kasi endelevu ya upepo wa kiasi cha kilomita 130 kwa saa mapema Jumatatu wakati kimbunga hicho kilipopiga karibu na Steinhatchee, Florida.
Kimbunga hicho kinaweza kuleta ufukweni wimbi kubwa la maji la hadi mita tatu zaidi ya mawimbi ya kawaida katika baadhi ya maeneo. Mawimbi yenye nguvu ni sababu kuu ya vifo kutokana na vimbunga, kulingana na NHC.
Baada ya kuleta athari Florida, kimbunga hicho kinatarajiwa kubakia katika kanda hiyo, kikielekea pole pole upande wa kaskazini na kuleta mvua kubwa Florida, Georgia na South Carolina katika siku zijazo.
Kimbunga Debby
Kimbunga Debby
Kiwango cha mvua cha sentimita 15-30 kinatarajiwa Florida, na sentimita 25- 50 huko Georgia na South Carolina. Magavana wa majimbo hayo matatu tayari wametangaza hali ya tahadhari kusaidia juhudi za misaada kuharakishwa. -VOA
Baadhi ya taarifa katika habari hii zinatokana na mashirika ya habari ya AP na Reuters
#kimbunga #Debby #Ghuba #Florida #mvua #Marekani #voa #voaswahili
6 Aug 2025
- The warning comes as the government makes changes to the sector.
6 Aug 2025
- Ruto made the appointments on Wednesday evening.
6 Aug 2025
- The nominee is awaiting Parliament's approval.
6 Aug 2025
- Two civil society organisations have moved to court to challenge the nomination of Dr. Duncan Oburu Ojwang as Chairperson of the KNCHR, citing a violation of constitutional gender provisions.
6 Aug 2025
- So, what really triggered the call to reassess Kenya’s US non-NATO major ally status?
6 Aug 2025
- President William Ruto and ODM party leader Raila Odinga have formed a five-member committee tasked with implementing the agenda of the broad-based government and the National Dialogue Committee (NADCO) report.
6 Aug 2025
- Captain Ibrahim Traore has made shockwaves across Africa and the wider world. Burkina Faso’s interim President is hailed as a revolutionary leader, extricating his country from the clutches of French colonial rule.
6 Aug 2025
- A Kenyan-born pastor and her family are facing deportation to their homeland after their application for permanent residency on humanitarian and compassionate grounds was denied.
6 Aug 2025
- A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
6 Aug 2025
- As captured during EACC survey
6 Aug 2025
- National Police Service says it's treating the matter with “the urgency and gravity” it deserves
6 Aug 2025
- Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
6 Aug 2025
- Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.