Skip to main content
Skip to main content

| MWAKA WANGU | Njaa na Maafa ya Mama; Taarifa Alizoangazia Emily Chebet

  • | Citizen TV
    643 views
    Duration: 7:40
    Sekta za elimu, afya, sayansi na mazingira zimesheheni shughuli chungu nzima mwaka huu wa 2025, ila baadhi ya masuala tuliyoangazia yamekuwa ya kuvunja moyo sana sasa ambapo taifa linasemekana kuelekea kwenye safu ya first world. Baa la njaa na vifo vya kina mama wakati wa kujifungua ni masuala ambayo yamezua masikitiko makubwa mwaka huu. Emily chebet anatufunulia pazia na kuweka wazi matukio hayo yalivyopima utu wa wanahabari walioyaangazia.