Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi aliyepata alama 62 Migori asaidiwa kujiunga na sekondari

  • | KBC Video
    244 views
    Duration: 3:43
    Ni habari njema kwa Sebastian Onyango, mwanafunzi mwerevu kutoka familia maskini ambaye hadithi yake iliangaziwa na runinga ya KBC Jumatatu. Onyango ambaye alipata alama 62 katika mtihani wake wa gredi ya tisa alitaka kurudia darasa la 9 kutokana na ukosefu wa karo. Wadau mbalimbali akiwemo Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja, wameahidi kufadhili kikamilifu elimu yake ya shule ya upili na hadi chuo kikuu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive