- 578 viewsMwanafunzi wa Chuo Kikuu Mwanafunzi wa chuo kikuu Portia Fafali Gedza anatambua vyema kuhusu athari ya habari za uongo kwenye WhatsApp kuhusu Makamu wa Rais wa Ghana Mahamadu Bawumia kwamba alikuwa anatoa pesa taslimu. Portia Fafali Gedza, mwanafunzi wa chuo kikuu anasema: “Mtu mmoja alinitumia kiungo cha taarifa kwamba Bawumia anagawa pesa. Nilibofya tu kwenye kiungo hicho, nikapitia mchakato wote, na ilifika mahali ambapo ilibidi nisambaze habari hiyo kwenye WhatsApp. Niliisambaza, na mwisho wa siku, sikutapa pesa. Kuna mtu alikuja kuniambia kwamba hizi habari ni za uongo, kwa hiyo nisingewaamini. Kwa sababu fikiria muda nilitumia kusambaza viungo hivyo, sikuweza kufanya chochote, na hivo, nilikuwa natumia bundle zangu, nilikuwa nasambaza kitu ambacho ni uzushi. Nilipata aibu.” Ripoti ya Isaac Kaledzi, VOA, Accra, Ghana. #ghana #voa #uchunguzi #uhakiki #habaripotofu #accra #waandishi #mwanafunzi #chuokikuu
Mwanafunzi asema alipata hasara na aibu baada ya kusambaza uzushi
- 17 Jun 2025 - President William Ruto has signed the Anti-Money Laundering and Combating of Terrorism Financing Laws (Amendment) Bill, 2025 into law.
- 17 Jun 2025 - The Higher Education Loans Board (HELB) has announced that over Ksh.40 billion is still outstanding from loan defaulters who borrowed from last year to as far back as over two decades ago.
- 17 Jun 2025 - A federal judge said on Monday that she would issue a brief extension of an order temporarily blocking President Donald Trump's plan to bar foreign nationals from entering the U.S. to study at Harvard University while she decides whether to issue a…
- 17 Jun 2025 - The victim, identified by locals as Moureen, was found lying in a pool of blood with her throat slit, prompting widespread shock and outrage in the quiet village.
- 17 Jun 2025 - Suba North Member of Parliament (MP) Millie Odhiambo has called for thorough investigations into the alleged suicide incident of arrested fisherman at Kipasi police post in Suba North constituency on Sunday.
- 17 Jun 2025 - The national government has launched a Ksh.60 million relief programme for Tana River residents affected by perennial flooding.
- 17 Jun 2025 - Hezena said the prominent family had threatened her late father years ago.
- 17 Jun 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
- 17 Jun 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
- 17 Jun 2025 - HELB recently blacklisted 71,806 loan defaulters.