- 578 viewsMwanafunzi wa Chuo Kikuu Mwanafunzi wa chuo kikuu Portia Fafali Gedza anatambua vyema kuhusu athari ya habari za uongo kwenye WhatsApp kuhusu Makamu wa Rais wa Ghana Mahamadu Bawumia kwamba alikuwa anatoa pesa taslimu. Portia Fafali Gedza, mwanafunzi wa chuo kikuu anasema: “Mtu mmoja alinitumia kiungo cha taarifa kwamba Bawumia anagawa pesa. Nilibofya tu kwenye kiungo hicho, nikapitia mchakato wote, na ilifika mahali ambapo ilibidi nisambaze habari hiyo kwenye WhatsApp. Niliisambaza, na mwisho wa siku, sikutapa pesa. Kuna mtu alikuja kuniambia kwamba hizi habari ni za uongo, kwa hiyo nisingewaamini. Kwa sababu fikiria muda nilitumia kusambaza viungo hivyo, sikuweza kufanya chochote, na hivo, nilikuwa natumia bundle zangu, nilikuwa nasambaza kitu ambacho ni uzushi. Nilipata aibu.” Ripoti ya Isaac Kaledzi, VOA, Accra, Ghana. #ghana #voa #uchunguzi #uhakiki #habaripotofu #accra #waandishi #mwanafunzi #chuokikuu
Mwanafunzi asema alipata hasara na aibu baada ya kusambaza uzushi
- 1 May 2025 - A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
- 1 May 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba confirmed the disbursement during the Inaugural Education Conference 2026 held at Lake Naivasha Resort.
- 1 May 2025 - Just two months after he warned that his life was in danger, Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were was shot dead on Wednesday evening in Nairobi.
- 1 May 2025 - Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- of the parents and aunt of her estranged husband -- and one attempted murder.
- 1 May 2025 - The changes were proposed during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi.
- 1 May 2025 - He says public universities previously on the verge of bankruptcy are now on the path to recovery.
- 1 May 2025 - Meru's growing anger could mark the tipping point in Ruto's grip on Mt Kenya East.
- 1 May 2025 - "We join his constituents, the people of the great county of Homabay, his family, colleagues and friends in mourning."
- 1 May 2025 - Cardinals will begin their secret conclave to elect the new leader of the global Church on May 7.
- 1 May 2025 - Kenya has reaffirmed its position as a continental climate leader with the submission of its Second Nationally Determined Contribution (NDC) to the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC), outlining a bold vision for a climate-…