- 3,392 views
Mwanafunzi mmoja katika kaunti ya Bungoma aliyejizolea alama ya 410 kwenye mtihani wa KCPE amewasisimua walimu na familia yake kwa ubunifu wake. Ethan Simiyu ambaye ana ndoto ya kuwa mhandisi ametengeneza kreni. Kwa mujibu wa wazazi wake, Ethan amekuwa akitengeneza vifaa kwa kutumia mitandao kunoa makali yake. Ethan anasema matumizi ya mtandao yalimpa msukumo wa kuwa mbunifu. Mwalimu mkuu wa shule alikokuwa akisomea ethan anasema kuwa mwanafunzi huyo ni miongoni mwa waliofanya vema zaidi kwenye mtihani wa KCPE.
Mwanafunzi Bungoma atengeneza kreni
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - Ghana's parliament, which has been adjourned since March following a row between the speaker and the president over an anti-LGBT bill, will reconvene on Friday to discuss approval of ministerial appointees and other "urgent matters".
- 18 May 2024 - In the narrow alleys of Mathare slum, a teenage girl's struggle for menstrual dignity takes a harrowing turn during the rainy season.
- 18 May 2024 - Court established chief's sons plotted to disinherit their sisters using Kamba customary law.
- 18 May 2024 - Malala says they want to have a strong party such as CCM in Tanzania.
- 18 May 2024 - The DP has never shied away from public forums and has always been next to President Ruto.
- 18 May 2024 - Coach Nickson Oyaro said the soldiers, who are top with 37 points from 19 matches, will go all out for goals.
- 18 May 2024 - In a statement AIU said Kwemoi knew about abnormalities detected in his ABP profile.
- 18 May 2024 - Leaders Cheetahs have made 11 changes for Saturday's clash against winless Rhinos in Kakamega.
- 18 May 2024 - They displaced the Bukusu who in turn displaced the Sabaots