Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi David Mokaya aondolewa kesi ya kumkejeli Rais

  • | Citizen TV
    1,406 views
    Duration: 2:47
    Mwanafunzi wa chuo kikuu aliyeshtakiwa kwa kuchapisha taarifa na kusambaza picha zilizoashiria mazishi ya Rais mtandaoni ameondolewa mashtaka. Mahakama ya Milimani imempa afueni David Mokaya kwenye uamuzi huu kwa kusema kuwa, mashahidi sita waliofika mahakamani kwenye kesi hiyo hawakumuhusisha moja kwa moja na taarifa hiyo