Skip to main content
Skip to main content

Mwanamke afariki kwenye moto Kisii

  • | KBC Video
    232 views
    Duration: 4:31
    Mikasa mitatu tofauti imeziacha familia katika hali ya mshtuko na jamii zikiomboleza. Katika kaunti ya Kisii, moto uliozuka alfajiri ulisababisha kifo cha mwanamke mmoja katika kile polisi wanasema ni kisa cha kushukiwa. Na huko Tana River, wakazi wenye ghadhabu walimpiga kitutu mshukiwa wa wizi wa bodaboda baada ya kumshambulia mwanakijiji. Na katika kaunti ya Kakamega, biwi la simanzi lilighubika familia moja baada ya mama na mwanawe kufa maji wakivuka daraja lililofurika maji. Ben Chumba na taarifa kamili. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive