- 538 views
Licha ya changamoto za kimaumbile za kutosikia na kuongea, Aisha Swaleh amemudu kushinda ulemavu huo na kujipatia ajira ya kutengeneza aina tofauti ya bidhaa eneo la mikindani kaunti ya Mombasa. Aisha mwenye Shahada ya kupika kwa zaidi ya miaka mingi amekuwa akisaka kazi katika hoteli ila kutokana na changamoto ya ulemavu hakuna aliyetaka kumwajiri na kuamua kujitosa katika kazi ambayo sasa inachangia katika utunzaji mazingira mtaani Mikindani kaunti ya Mombasa.
| Mwanamke Bomba | Aisha Swaleh anatunza mazingira Mikindani, Mombasa
- 13 Aug 2025 - President William Ruto on Wednesday assented to the County Allocation of Revenue Bill, 2025, and the County Public Finance Laws (Amendment) Bill, 2023.
- 13 Aug 2025 - The ruling follows a petition filed by four individuals, among them Nakuru-based surgeon Dr. Benjamin Gikenyi, challenging the legality of the committee appointed to audit pending NHIF claims.
- 13 Aug 2025 - The clarification follows an uproar from Kenyans.
- 13 Aug 2025 - The United States as intensified crackdown on individuals seeking student visas.
- 13 Aug 2025 - The president had previously hosted thousands of youths at State House.
- 13 Aug 2025 - China expects to import 2,000 tonnes of macadamia by the end of the year.
- 13 Aug 2025 - "Tusiharibu game tumestruggle sana kuijenga.”
- 13 Aug 2025 - The PROMISES!
- 13 Aug 2025 - Senior officials from the British Army Training Unit Kenya (BATUK) failed to appear in Parliament on Tuesday to answer questions about the atrocities their soldiers have committed in the country.
- 13 Aug 2025 - African officials and experts have warned that the unpredictability of U.S. trade policy fuels uncertainty for the continent's development.