Skip to main content
Skip to main content

Mwanaume afariki Minyali-Nabiswa Bungoma baada ya kugongwa na mti aliokuwa akiukata

  • | Citizen TV
    51 views
    Mwanaume mmmoja kutoka kijiji cha Minyali–Nabiswa katika Eneo Bunge la Tongaren kaunti ya Bungoma amefariki baada ya kuangukiwa na mti aliokuwa akiukata pamoja na ndugu yake.