Mwandishi alipigwa risasi mara tatu wakati akiripoti maandamano dhidi ya serikali #short #shorts
Mwandishi wa habari Catherine Wanjeri alipigwa risasi mara tatu katika paja wakati akiripoti kuhusu maandamano dhidi ya serikali Julai 16 huko Kaunti ya Nakuru, Kenya.
Wanjeri, ambaye hivi sasa anauguza majeraha yake baada ya kufanyiwa upasuaji kuondoa risasi anaelezea kilichotokea siku hiyo.
Waandishi wa habari 13 nchini Kenya walijeruhiwa au kukamatwa wakati wakiripoti kuhusu maandamano hayo yaliyofanyika hivi karibuni dhidi ya serikali.
#kenya #ruto #voaswahili
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- Two families in Mlolongo, Machakos County, are in anguish months after their kin disappeared under mysterious circumstances.
7 Aug 2025
- Kericho Governor Erick Mutai once again faces an impeachment attempt, barely a year after surviving a similar bid in the Senate.
7 Aug 2025
- A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- CBK is expected to respond to the bankers' request next week on Tuesday.
7 Aug 2025
- They have been summoned over the irregular transfer of the government land.
7 Aug 2025
- The ministers of defence and environment died in a military helicopter on Wednesday.
7 Aug 2025
- By the end of 2025, 1,000 goats and sheep are expected to be distributed unger the Hope Project