- 182 viewsWajumbe kutoka sehemu mbali mbali za dunia watapokutana kwenye Umoja wa mataifa kuzungumzia suala la maji, Brook Thompson atakuwa miongoni mwao, akielezea hadithi ya juhudi za kabila lake kuokoa mto wao. Mto Klamath, unaomwaga maji kutoka Oregon hadi pwani ya California, umesaidia maisha ya binadamu kwazaidi ya miaka elfu moja. Watu wa Yurok na makabila mengine yanayoishi kando ya ukingo wake kwa zaidi ya miaka elfu moja wametegemea mto wa Klamath kama chanzo kikubwa cha mojawapo ya vyakula bora zaidi vya asili: samaki aina ya Salmon. #marekani #kongamano #maji #un #mto #umojawamataifa #brookthompson #kabila #mtoklamath #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mzawa wa Marekani kuliambia kongamano la maji UN alivyookoa mto wao
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 26 Apr 2024 - Jonathan Moi's widow made a public appeal, asking well-wishers to donate money for her son's treatment.
- 26 Apr 2024 - Tana River has experienced little rainfall but flash floods have displaced many families.
- 26 Apr 2024 - The properties have been put up for sale due to multi-million loan arrears.
- 26 Apr 2024 - Wanjohi failed to turn up for questioning.
- 26 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes On Wednesday, a report on secondary schools provided insights into drivers of learning and academic performance. It pointed to inequalities […]
- 26 Apr 2024 - Economic freedom in Kenya, legal rights in Rwanda, community action in Uganda to breath new life into domestic abuse survivors
- 26 Apr 2024 - The lawmakers said the consequences of governor impeachments are dire.
- 26 Apr 2024 - Nakhumicha says striking health workers will not be paid for failing to show up at their work stations.
- 26 Apr 2024 - Raila met with the Norwegian Ambassador to Kenya and the Australian High Commissioner to Kenya.
- 26 Apr 2024 - Prison breaks have become a major security concern in Nigeria.