Skip to main content
Skip to main content

Naibu Rais Kindiki akutana na wahudumu wa afya ya jamii kaunti ya Meru

  • | Citizen TV
    456 views
    Duration: 1:18
    Naibu wa rais profesa kithure kindiki amekutana wa wahudumu wa afya ya jamii zaidi ya 6,500 kutoka kaunti ya meru na kuwahakikishia kuwa serikali itatekeleza mkataba wa kuboresha hali ya maisha yao.