- 852 viewsRais wa Kenya William Ruto Ijumaa alimteua waziri wa mambo ya ndani Kithure Kindiki kuwa naibu wake mpya, siku moja baada ya baraza la Seneti kupiga kura ya kumtimua naibu wake wa zamani, Rigathi Gachagua. “Nimepokea ujumbe kutoka kwa rais, kuhusu kuteuliwa kwa Profesa Kithure Kindiki kushika nafasi hiyo ambayo imetokea afisini,” Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula alisema Ijumaa, akiwahutubia wabunge mjini Nairobi. Gachagua, ambaye alikanusha mashtaka yote dhidi yake wakati wa kesi ya kuondolewa madarakani, alimuunga mkono Ruto katika ushindi wake wa 2022 na kusaidia kupatikana kwa kura nyingi kutoka eneo lenye wakazi wengi la kati mwa Kenya. Lakini katika miezi ya hivi karibuni , Gachagua amezungumza kuhusu kutengwa, huku kukiwa na taarifa zilizoenea kwenye vyombo vya habari kuwa ametofautiana na Ruto wakati miungano ya kisiasa ikibadilika. Kindiki, mshirika wa karibu wa Ruto, ameshikilia wadhifa wa wizara ya mambo ya ndani katika kipindi chote cha miaka miwili ya Ruto kama rais. Hapo awali aliwahi kuwa seneta wa Kaunti ya Tharaka Nithi na alikuwa mgombeaji mkuu kuwa mgombea mwenza wa Ruto wakati wa uchaguzi wa 2022. Baadaye Bunge litalazimika kupiga kura kuidhinisha uteuzi wa Kindiki kabla ya kuapishwa. #Kenya #seneti #gachagua #kindiki #voa #voaswahili
'Nawaunga mkono wabunge na seneti kwa muelekeo wao...'
- 18 Jun 2025 - The protests in Nairobi reportedly injured at least 17 people, including a hawker shot at close range by a police officer.
- 18 Jun 2025 - Inspector Christine Muthoni of Muthangari Police Station reported the incident early on Tuesday morning.
- 18 Jun 2025 - In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
- 18 Jun 2025 - Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.
- 18 Jun 2025 - Previously, attacks by most aquatic animals did not guarantee compensation.
- 18 Jun 2025 - The father of Boniface Mwangi Kariuki, the 22-year-old hawker who was shot in the head by an anti-riot police officer along Moi Avenue in Nairobi during protests, is now appealing for justice and speedy action.
- 18 Jun 2025 - In March this year, UDA and ODM signed an agreement that saw politicians from both parties work together.
- 18 Jun 2025 - County says legal fees must adhere to the Advocates Remuneration Order, but some lawyers have expressed frustration over the new vetting process.
- 18 Jun 2025 - The MP recounted the nature of injuries he witnessed among the victims, describing them as evidence of deliberate attacks.
- 18 Jun 2025 - The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.