- 229 viewsKwa kuenea kwa taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii, waandishi wa habari nchini Msumbiji wako mstari wa mbele katika kupambana na upotoshaji na taarifa za uongo. Hapa katika chumba cha habari cha Evidencias, mjini Maputo, Msumbiji, Reginaldo Tchambule na timu yake wanafanya kazi ya kuweka rekodi sawa katika jitihada za kupambana na upotoshaji na taarifa za uongo. Yeye na mwenzake Nelson Mucandze, wanasema walianzisha pamoja gazeti na lile la mtandaoni miaka minne iliyopita kwa sababu mashirika mengine mengi hayakuwa yakikagua ukweli au kutumia taarifa na uchambuzi katika kuripoti kwao. Tchambule anasema hadhira yao ilianza kufuatilia kwa haraka. Reginaldo Tchambule, Evidencias Editor anaeleza: “Gazeti la Evidencias linaweza kuwa limepata muonekano na umaarufu mkubwa katika muda mfupi, kwa sababu ya jinsi tulivyozingatia uandishi wa habari wenyewe. Wakati fulani tulikuwa na ukurasa ambapo tulichunguza habari kuu zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii.” Mwaka huu, Tchambule aliripoti kwa nini Ossufo Momade, kiongozi wa Renamo, chama kikuu cha upinzani cha Msumbiji, hajaonekana hadharani kwa wiki kadhaa wakati wa kampeni za urais. Evidencias ilianza kuchunguza picha kwenye mtandao wa Facebook wa mgombea ambapo ilionekana Momade alikuwa akifanya kazi nje ya nchi. Ripoti ya Amarilis Gule VOA Maputo. #habaripotofu #msumbiji #maputo #chumbachahabari #Evidencias #gazeti #reginaldotchambule #voa #voaswahili
Nchini Msumbiji waandishi waongeza juhudi kukabiliana na habari potofu
- 1 May 2025 - President William Ruto has fulfilled his promise to sponsor 10 vulnerable girls from each of the 17 constituencies in Nairobi County.
- 1 May 2025 - Finance Bill 2025 will support entreprise and productivity in Kenya, President William Ruto has assured.
- 1 May 2025 - Central Organisation of Trade Unions (COTU) Secretary General Francis Atwoli has called on the government to remodel the tax deductions architecture to favour Kenyan workers.
- 1 May 2025 - A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
- 1 May 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba confirmed the disbursement during the Inaugural Education Conference 2026 held at Lake Naivasha Resort.
- 1 May 2025 - Just two months after he warned that his life was in danger, Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were was shot dead on Wednesday evening in Nairobi.
- 1 May 2025 - Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- of the parents and aunt of her estranged husband -- and one attempted murder.
- 1 May 2025 - Immediately after news of his death broke, disturbing images surfaced online showing individuals allegedly attacked or killed for opposing his leadership. Some residents blamed him for sponsoring goons to intimidate political rivals—accusations he had…
- 1 May 2025 - The MP had publicly claimed some people were plotting to assassinate him.
- 1 May 2025 - The changes were proposed during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi.