- 735 viewsDuration: 2:43Tume ya Uwiano na Utangamano wa Kitaifa, NCIC, imeelezea ghadhabu yake kufuatia ongezeko la visa vya uhuni msimu huu wa siasa. Tume hiyo, iliyoandaa kikao na idara za serikali pamoja na mashirika ya kiraia, imesema kila Mkenya na taasisi zina jukumu la kuhakikisha uchaguzi wa amani. Willy Lusige ana taarifa zaidi.