Skip to main content
Skip to main content

Ndovu waharibu mimea mashambani kaunti ya Lamu

  • | Citizen TV
    171 views
    Duration: 1:20
    Wakazi wa maeneo ya Juhudi, Salama Widho na Sinambio, wadi ya Mkunumbi, kaunti ya Lamu, wamelalamikia kuvamiwa na ndovu wanaoharibu mimea yao ikiwemo minazi, mihindi, mikanju na miembe.