Skip to main content
Skip to main content

Ndovu wavamia mashamba na kuharibu mimea Taita Taveta

  • | Citizen TV
    477 views
    Duration: 2:06
    Wakazi wa Bungule huko Voi kaunti ya Taita Taveta sasa wanalitaka shirika la kulinda na kuhifadhi wanyamapori Kws kuwaondoa Ndovu sehemu hiyo ambao wamesababisha kifo cha mtu mmoja na kuharibu mimea mashambani.