Ndugu wenye majonzi wakiitambua miili ya wachimba mgodi 20 waliouwawa Pakistan
Watu wenye bunduki waliwauwa wachimba migodi 20 na kuwajeruhi wengine 7 huko kusini magharibi mwa Pakistan, afisa wa polisi alisema Ijumaa, huku mamlaka zikilaani tukio hilo, wakati operesheni ya kuwasaka washambuliaji hao ikiendelea.
Tukio hili la hivi karibuni katika jimbo la Balochistan lenye ghasia limekuja siku kadhaa kabla ya mkutano mkuu wa usalama ambao mji mkuu huo ndiyo mwenyeji wa mkusanyiko huo.
Watu hao wenye silaha walivamia eneo la malazi la machimbo ya mkaa wa mawe huko wilaya ya Duki Alhamisi usiku sana, wakawazingira wanaume hao na kuwapiga risasi, afisa wa polisi Hamayun Khan Nasir alisema.
Alisema kuwa washambuliaji hao pia walifyatua roketi na kurusha maguruneti katika mgodi wa mkaa wa mawe na kuharibu vifaa ya kuchimbia mgodi kabla ya kutoweka. - AP
#mgodi #machimbo #balochistan #pakistan #polisi #familia #hospitali
18 Jun 2025
- Previously, attacks by most aquatic animals did not guarantee compensation.
18 Jun 2025
- In March this year, UDA and ODM signed an agreement that saw politicians from both parties work together.
18 Jun 2025
- The Bishop adds to the growing list of prominent persons who have spoken after the shooting of a vendor in CBD.
18 Jun 2025
- The protests in Nairobi reportedly injured at least 17 people, including a hawker shot at close range by a police officer.
18 Jun 2025
- Inspector Christine Muthoni of Muthangari Police Station reported the incident early on Tuesday morning.
18 Jun 2025
- In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
18 Jun 2025
- Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.
18 Jun 2025
- Previously, attacks by most aquatic animals did not guarantee compensation.
18 Jun 2025
- The father of Boniface Mwangi Kariuki, the 22-year-old hawker who was shot in the head by an anti-riot police officer along Moi Avenue in Nairobi during protests, is now appealing for justice and speedy action.
18 Jun 2025
- In March this year, UDA and ODM signed an agreement that saw politicians from both parties work together.
18 Jun 2025
- The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.
18 Jun 2025
- The Bishop adds to the growing list of prominent persons who have spoken after the shooting of a vendor in CBD.
18 Jun 2025
- Investigations are currently ongoing.