- 167 viewsMwanaharakati raia wa Iran anayetetea haki za wanawake aliyefungwa gerezani Narges Mohammadi, ameshinda Tuzo ya Amani ya Nobel Ijumaa ikiwa ni kama kuukemea uongozi wa kibabe na kuweka nguvu dhidi wa waandamanaji wanaoipinga serikali. Kamati inayoandaa tuzo hiyo imesema ni kuwapa heshima wote wale walioongoza maandamano ya hivi karibuni ambayo hayajawahi kushuhudiwa nchini Iran na kutaka kuachiliwa kwa Mohammadi mwenye umri wa miaka 51 ambaye alifanya kampeni kwa miongo mitatu ya haki za wanawake na kupinga hukumu ya kifo. “ tuna tumaini ya kupeleka ujumbe kwa wanawake kote duniani ambao wanaishi katika mazingira ambayo wanabaguliwa; kuweni na ujasiri, endeleeni, Berit Reiss- Andersen mkuu wa kamati ya tuzo ya Nobel ya Norway ameliambia shirika la habari la ROITA. Hakukuwa na majibu rasmi kutoka Tehran ambayo inaita maandamano hayo kuwa nu uasi unaoongozwa na magharibi. Mohammadi anatumikia vifungo mbali mbali katika gereza la Evin mjini Tehran takriban miaka 12 jela moja ya vipindi vingi ambavyo amekuwa akizuiliwa gerezani , hiyo ni kulingana na shirika la kutetea haki za watetezi walio mstari wa mbele. #mwanaharakati #haki #wanawake #uhuru #tuzoyaamaninobel #NargesMohammadi #irani #voa #voaswahili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Norway: Mwanaharakati aliyeko kifungoni Iran Narges Mohammadi ashinda Tuzo ya Amani ya Nobeli
- 2 May 2024 - Efforts to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi gained pace on Thursday after the National Assembly formed a Select Committee to investigate allegations against him.
- 2 May 2024 - The government is now warning that Cyclone Hidaya may soon hit the Coastal region amid the heavy rains presently being witnessed across the country.
- 2 May 2024 - A court assistant in Migori County is set to face charges for allegedly demanding a bribe in order to help an accused person secure a lighter sentence in a criminal case.
- 2 May 2024 - The National Transport and Safety Authority (NTSA) has revoked the licences of 64 Public Transport Operators (PTOs) plying various routes across the country.
- 2 May 2024 - Daring Africa 2024, Nissan’s overland adventure across eight countries with four Nissan Navara pick-ups and an X-Trail SUV, has completed its Kenya leg, the expedition’s penultimate stop before transitioning to Egypt.
- 2 May 2024 - President William Ruto has urged institutions of higher learning to adopt innovation and emerging technologies to enhance access to affordable education. The President said the government is prepared to support universities offer online and virtual…
- 2 May 2024 - Motion for the impeachment of Nakuru County Secretary Dr Samwel Mwaura, tabled by Menengai East Member of County Assembly Wilson Mwangi split the House on Thursday.
- 2 May 2024 - Royal Media Services (RMS)-owned television, radio and digital platforms continue to lead Kenya’s media landscape, according to the latest findings by the Media Council of Kenya (MCK).
- 2 May 2024 - Matungulu subcounty police commander Peter Omondi said the road had become impassable
- 2 May 2024 - 67 out of 69 members present voted against formation of probe committee.