- 1,306 viewsDuration: 2:23Madereva wanaokiuka sheria za barabarani sasa watalipa faini za papo hapo. Mamlaka ya kitaifa ya usalama barabarani ntsa imetangaza kuanza rasmi kwa mfumo wa dijitali kuwanasa wanaofanya makosa barabarani na ujumbe wa faini za kati ya shilingi 500 na elfu 10 kutumwa kwa mwenye gari.