Skip to main content
Skip to main content

ODM Mombasa wataka Hassan Omar achukuliwe hatua

  • | Citizen TV
    448 views
    Chama cha ODM kaunti ya Mombasa pamoja na baadhi wawakilishi wadi wamekashifu matamshi ya Katibu wa chama cha UDA Hassan Omar wakisema yanalenga kuvuruga umoja na maelewano kati yao.