Skip to main content
Skip to main content

ODM yalalamikia zoezi la kusajili makurutu wa jeshi

  • | Citizen TV
    2,187 views
    Duration: 1:52
    Viongozi wa chama cha ODM wametoa tetesi kuhusu zoezi la kusajili makurutu wa jeshi wakidai zoezi hilo mara kwa mara limepuuza vijana kutoka nairobi.. Viongozi hao wanasema kaunti ya nairobi imekuwa ikupuuzwa na wakati umefika wa vijana wa kaunti ya nairobi kupewa kipaumbele.