- 43 views
Waziri wa habari, mawasiliano na uchumi dijitali Eliud Owalo sasa analitaka bunge kuudhibiti mtandao wa kijamii wa TikTok badala ya kuupiga marufuku. Akiongea alipofika mbele ya kamati ya bunge kuhusu malalamishi, Owalo alisema kupiga marufuku mtandao huo kutawanyima mamilioni ya vijana mapato ya kila siku na kusababisha kuondoka kwa wawekezaji wengi kutoka sekta ya kibinafsi wanaohudumu kupitia mfumo wa dijitali. Baadhi ya wabunge hata hivyo wana wasiwasi iwapo serikali ina uwezo wa kudhibiti maudhui kabla ya kuchapishwa kwenye mtandao huo wa TikTok.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Owalo asema mtandao wa Tiktok unatoa nafasi za ajira kwa vijana
- 29 Apr 2024 - Karua, in a statement issued on Monday, also urged the Education Ministry to reconsider the postponement of school reopening to ensure the safety of students, as well as relocate those affected by the floods.
- 29 Apr 2024 - Grief, sorrow and a sense of emptiness struck the families who lost their kin on Sunday evening on a boat that capsized in the Kona Punda area in Tana River County.
- 29 Apr 2024 - Hopes rose Monday for a long-sought truce and hostage release deal after almost seven months of war between Palestinian Hamas militants and Israel in Gaza.
- 29 Apr 2024 - KQ stated on Monday that without its staff, it would be unable to effectively support its flights to Kinshasa.
- 29 Apr 2024 - The new opening date is set for Monday, May 6, 2024 for all schools.
- 29 Apr 2024 - Chiefs will be held personally liable for any issuance of Kenyan National ID Cards to non-natives within their jurisdictions following the disbandment of vetting committees starting Wednesday this week.
- 29 Apr 2024 - Three suspects were on Monday arraigned at the Embu Law Court for running an extortion syndicate targeting men.
- 29 Apr 2024 - Kenya Airways has suspended flights to the Democratic Republic of Congo in protest over the continued detention of two employees based in Kinshasa.
- 29 Apr 2024 - 15 people have lost their lives and over 1000 families displaced in Mathare.
- 29 Apr 2024 - Beneficiaries of the fund are drawn from secondary schools, universities and colleges.