Paa la Klabu lililoporomoka na kuua 98 Jamhuri ya Dominika
Picha za ndege zisizo na rubani zinaonyesha paa lililoporomoka na kuua 98 katika Klabu ya usiku Jamhuri ya Dominika
Takriban watu 98 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 150 kujeruhiwa baada ya paa kuporomoka katika klabu ya usiku katika mji mkuu wa Jamhuri ya Dominika Santo Domingo.
Kisa hicho kilitokea usiku wa Jumanne kwenye tamasha la mwimbaji maarufu wa merengue Rubby Pérez ambaye ni miongoni mwa waliouawa katika tukio hilo.
#bbcswahili #dominika #ajali
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- Two families in Mlolongo, Machakos County, are in anguish months after their kin disappeared under mysterious circumstances.
7 Aug 2025
- Kericho Governor Erick Mutai once again faces an impeachment attempt, barely a year after surviving a similar bid in the Senate.
7 Aug 2025
- A man believed to be behind a string of brutal murders in Gem Yala sub-county in Siaya was apprehended and later lynched by members of the public.
7 Aug 2025
- The late MP was a trailblazer on many fronts.
7 Aug 2025
- The operation was a joint effort between police and KWS.
7 Aug 2025
- The arrests were made during an operation on Wednesday night.
7 Aug 2025
- CBK is expected to respond to the bankers' request next week on Tuesday.
7 Aug 2025
- They have been summoned over the irregular transfer of the government land.
7 Aug 2025
- The ministers of defence and environment died in a military helicopter on Wednesday.
7 Aug 2025
- By the end of 2025, 1,000 goats and sheep are expected to be distributed unger the Hope Project