Skip to main content
Skip to main content

Police FC yadhibiti nafasi ya tatu baada ya ushindi dhidi ya Murang’a Seal

  • | Citizen TV
    73 views
    Duration: 1:14
    Police FC imedhibiti nafasi yao ya tatu kwenye jedwali ya Ligi Kuu ya kandanda baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Murang'a Seal FC katika uwanja wa Police Sacco. Kipindi cha kwanza kiliisha sare ya bao 1-1 kabla ya Police FC kupata bao la ushindi katika dakika za lala salama kipindi cha pili.