- 1,031 viewsDuration: 2:24Mwanamume wa miaka thelatini na saba anaendelea kusakwa na maafisa wa ujasusi kutoka kitengo cha gsu katika kijiji cha Kipkosil sehemu ya bureti kaunti ya Kericho baada ya kuripotiwa kumuua mwanawe wa miaka mitatu kwa kumgonga kwa kifaa butu kichwani .