- 20,584 viewsDuration: 3:05Polisi mjini Mombasa wanalisaka genge la vijana waliowajeruhi watu wawili akiwemo mlinzi mmoja katika eneo la Biashara Street katikati mwa jiji. Kulingana na wanaohudumu eneo hilo, genge lilijihami kwa mapanga na silaha butu likiwavamia kila waliokutana nao na kutoweka na simu mbili za mmoja wa walinzi.