- 3,873 viewsDuration: 2:33Idara ya polisi imeanzisha msako mkali wa kukabiliana na wezi wa mifugo katika kaunti za Isiolo, Meru, Samburu na Laikipia. Hayo yakijiri naibu wa rais Kithure Kindiki ameamrisha kuwa majangili hao wakabilwe na kumalizwa kwa muda wa wiki mbili.