Skip to main content
Skip to main content

Polisi wanamzuilia mshukiwa wa ubakaji Kiambu

  • | Citizen TV
    3,267 views
    Duration: 3:07
    Polisi eneo la Tigoni huko Limuru kaunti ya Kiambu wanamzulia mshukiwa mmoja anayeaminika kuwabaka zaidi ya wanawake kumi ambao tayari wameandikisha taarifa. Jamaa huyo anadaiwa kutumia mitandao ya kijamii kushawishi wasichana kukutana naye kisha kuwatishia maisha, kuwapora na kuwadhulumu kingono.