- 3,015 viewsDuration: 3:08Wapelelezi katika kituo cha polisi cha Central wanachunguza ulaghai wa dhahabu ambapo raia wa Marekani alilaghaiwa takriban shilingi milioni 37 kwa ahadi ya kuuziwa dhahabu. Maafisa hawa wakivamia makao yaliyoaminika kuhifadhi dhahabu hizo katika eneo la hurlighum hapa nairobi. Washukiwa wawili kwa sasa wanasakwa kwa tuhuma za kuendesha mtandao huo wa ulaghai wa dhahabu