Skip to main content
Skip to main content

Polisi wazuia watu sita baada ya mauaji tata ya mwanamke Migori

  • | Citizen TV
    1,358 views
    Duration: 3:25
    Polisi katika kituo cha Isebania kaunti ya Migori wanawazuia watu sita wanaoshukiwa kumuua mwanamke mmoja. Picha za CCTV zilinasa washukiwa wakiubeba mwili wa mama huyo kutoka nyumbani kwake alikouawa. Mumewe marehemu na dereva wa teksi ni miongoni mwa waliokamatwa wakisafirisha mwili huo.