- 126 views
Wanafunzi katika bonde la Kerio ambalo hukumbwa mara kwa mara na visa vya utovu wa usalama sasa watalipa karo ya shule ya shilingi elfu-5 kwa mwaka kufuatia agizo lililotolewa na rais William Ruto. Rais anayefanya ziara ya siku tatu ya kikazi katika eneo la North Rift alisema kuwa hatua hiyo inanuiwa kuhakikisha kwamba wanafunzi zaidi wanasajiliwa shuleni na kuzikinga familia ambazo riziki zao zilivurugwa kutokana na utovu wa usalama na mafuriko. Rais pia aliagiza wizara ya usalma wa Taifa kuzipa zaidi ya familia elfu moja zilizopoteza makazi kutokana na ujangili makao mapya katika muda wa mwezi mmoja. Mwanahabari wetu Abdiaziz Hashim anatuarifu zaidi kuhusu ziara hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais aanza ziara ya siku 3 katika eneo la Rift Valley
- 17 Aug 2025 - ODM leader Raila Odinga has sharply criticised individuals who spread malicious rumours and wished death upon Siaya Governor James Orengo when he was out of the country for more than one month.
- 17 Aug 2025 - European leaders will join Ukrainian President Volodymyr Zelensky during his visit to Washington on Monday seeking an end to Moscow's invasion, after President Donald Trump dropped his push for a ceasefire following an Alaska summit with Russian leader…
- 17 Aug 2025 - Social media sensation Esther Musila has once again warmed the hearts of her fans with a heartfelt message
- 17 Aug 2025 - Uganda has inaugurated its first large-scale gold mine, a $250 million Chinese-owned project in the country's east that will also refine the bullion to 99.9% purity, according to a statement from the president's office.
- 17 Aug 2025 - Lang’ata Member of Parliament Felix Odiwuor, popularly known as Jalang’o, is among the thousands of fans thronging at
- 17 Aug 2025 - Whether in a sports jersey or a suit, Kenyan President William Ruto is casting himself as a model supporter of the national football team as an international tournament provides respite from recent bloody protests against his regime.
- 17 Aug 2025 - Fans eager to see how the Harambee Stars measure up against Zambia
- 17 Aug 2025 - Content creator Maureen Waititu has raised an alarm over a new phone scam targeting mobile users through calls
- 17 Aug 2025 - Fans thronged the stadium to support Harambee Stars as they battle it out with Zambia.
- 17 Aug 2025 - The viewing zones, equipped with large screens, offered fans a lively atmosphere to enjoy the match