- 34 views
Rais William Ruto ameonya vikali dhidi ya udhalilishaji wa wanawake wanaotafuta ajira katika mradi wa ujenzi nyumba za bei nafuu. Rais ambaye amezungumza baada ya kuzindua mradi huo eneo bunge la Starehe jijini Nairobi, amesema wenyeji watapewa kipaumbele katika umiliki wa nyumba hizo zitakazojengwa na mbunge wa eala suileman shabal wa muungano wa Azimio kupitia kampuni yake ya Gulf capital. Kwa upande wake naibu rais Rigathi Gachagua amewakaribisha wabunge wa Azimio kuungana na serikali kwa madhumuni ya ajenda ya maendeleo. Mbunge wa Langata Felix Oduor almaarufu jalango na mbunge wa Dagoretti kaskazini Beatrice Elachi kutoka muungano wa Azimio ni miongoni mwa wabunge waliohudhuria
Rais aonya dhidi ya udhalilishaji wa wanawake wanaposaka ajira
- - Duniani Leo ››
- 30 Apr 2024 - Tuju had accused the lender of never paying the full loan amount.
- 30 Apr 2024 - Local leaders say various agencies are trying to repair the road.
- 30 Apr 2024 - Education ministry says learners should not travel home under the current adverse weather conditions.
- 30 Apr 2024 - Western region has been racked by political upheavals.
- 30 Apr 2024 - Kenyan retailers ready to pounce as Ethiopia to open up market
- 30 Apr 2024 - At least 48 killed after dam burst its banks
- 30 Apr 2024 - Flood of death
- 30 Apr 2024 - Poor investment climate hinders climate financial flows into Africa
- 30 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The government will now leverage technology and involve chiefs especially in border and cosmopolitan counties in the registration and issuance […]
- 30 Apr 2024 - •For in the world of football, as in life, it is not the victories that define us but the legacy we leave behind.