- 463 views
Rais William Ruto amefutilia mbali bili ya hospitali ya Mukami Kimathi, mkewe mpiganiaji wa uhuru wa Kenya Dedan Kimathi. Mukami alikuwa amezuiliwa katika hospitali moja jijini Nairobi baada ya familia yake kushindwa kulipa zaidi ya shilingi milioni 1.3 za bili za hospitali. Naibu Rais Rigathi Gachagua aliyemtembelea Mukami Kimathi katika hospitali hiyo, alisema kuwa serikali ya Kenya Kwanza inaangazia masaibu ya wapiganiaji uhuru, ambao bado wako hai na wanakabiliwa na umaskini licha ya kupigania uhuru wa nchi hii.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #KenyaElection2022 #News
Rais Ruto afutilia mbali bili ya hospitali ya Mukami Kimathi, mkewe Dedan Kimathi
- - Duniani Leo ››
- 29 Apr 2024 - Soldiers, police in scuffle at Likoni channel
- 29 Apr 2024 - Struggles of a mother with an intersex child
- 29 Apr 2024 - KRA average monthly tax take this year has been Sh171 billion against a target of Sh208 billion.
- 29 Apr 2024 - Unions have threatened mother of all strike if cabinet approve the proposal
- 29 Apr 2024 - Kenyans may also not experience the bitterly cold June-July weather, as temperatures will remain warmer
- 29 Apr 2024 - Elections have reignited bad blood between a county boss and his deputy who are now not seeing eye to eye
- 29 Apr 2024 - The python died in a brushfire 37 years ago but was returned to Kisumu for the event
- 29 Apr 2024 - It is highly competent, can tolerate more arid conditions, and thrive in both rural and urban settings.
- 29 Apr 2024 - Ruto’s first grassroots polls were phoney, they just wrote names down, even those of unregistered boda boda riders who refused.
- 29 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes The county government of Kakamega has asked the public to disregard statements made by area Senator Boni Khalwale that construction […]