- 5,029 viewsDuration: 1:57Rais William Ruto amempokeza Yoweri Museveni wa Uganda uenyekiti wa muungano wa Afrika Mashariki EAC katika kongamano lililoandaliwa Arusha Tanzania. Aidha Balozi Stephen Patrick Mbundi kutoka Tanzania ameapishwa kama katibu mkuu wa muungano huo kabla ya kuondoka rasmi kwa katibu wa sasa Veronica Nduva mnamo Aprili mwaka huu