Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto aongoza ujumbe wa viongozi kuzuru Nairobi

  • | Citizen TV
    4,569 views
    Duration: 2:22
    Rais William Ruto, Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja wamezuru eneo la Lucky summer siku moja baada ya Serikali ya Kaunti ya Nairobi na Serikali kuu kutangaza mustakabali wa kushirikiana katika sekta nne za maendeleo ikiwemo kusafishwa kwa mto Nairobi. Rais bado anaendelea na ziara yake katika mitaa tofauti jijini Nairobi kwa sasa.