- 3,632 views
Rais William Ruto ameutaka muungano wa bara Afrika kufanya hima na kujikimu kuhusu masuala ya maendeleo, uchumi na ustawishaji bila kutegemea misaada kutoka mataifa ya magharibi. Akizungumza katika mkutano wa tano wa muungano huo Rais William Ruto pia alipendekeza kuwe na mabadiliko kwani ilivyo sasa asilimia sitini ya miradi ya au inafadhiliwa na wafadhili wa nje. Kati ya marais waliokuwemo kwenye mkutano huo katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa ya UNDP eneo la Gigiri, ni pamoja na Azali Assoumani wa Comoros, Ali Bongo wa Gabon, Abdel Fattah wa Misri, Macky Sall wa Senegal, Ismail Guelleh wa Djibouti, Bola Tinubu wa Nigeria na mwenyekiti wa Muungano wa Bara Afrika Moussa Faki.
Rais Ruto ataka Afrika kufanisha maendeleo yake kwa kujikimu
- 16 Aug 2025 - Italian authorities on Friday sought to identify the bodies of 27 people who died when two crowded boats sank off the Mediterranean island of Lampedusa.
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Setback for Ruto as court temporarily stops Kenya Pipeline sale
- 16 Aug 2025 - Supreme Court throws out bid to hold polls in 2026
- 16 Aug 2025 - Child sex trade report exposed why Kenya should act urgently
- 16 Aug 2025 - Runway row puts training of future pilots in jeopardy
- 16 Aug 2025 - China hits US over cold-war tactics on aid to Kenya and trade threats
- 16 Aug 2025 - Kenyans to governors: Find something better to do with your time
- 16 Aug 2025 - Mbadi blasts governors for non-remittance of pension dues