5 Feb 2026 1:07 pm | Citizen TV 253 views Duration: 1:27 Rais William Ruto ameongoza hafla ya kutoa pesa za mtaji kwa vijana katika mradi wa NYOTA mjini Malindi. Katika awamu ya leo, vijana waliopewa shilingi elfu 25 kila mmoja walitoka kaunti za Kilifi, Tana river na Lamu.