- 32 views
Rais William Ruto ametangaza kusitishwa kwa uajiri wa walimu elfu 20 kufuatia nakisi ya bajeti iliyotokana na kufutiliwa mbali kwa mswada wa fedha wa 2024. hatahivyo ameahidi walimu watarajali wa jss elfu 46 kuwa bado wataajiriwa kupitia ufadhili wa shilingi bilioni 18.3. wakati huohuo, chama cha walimu wa shule za upili ,kuppet, kimeshtumu kuondolewa kwa bajeti ya kutahini ya shilingi bilioni 5, huku kikihofia kuwa baraza la mitihani ya kitaifa (KNEC) huenda likakosa kutahini wanafunzi au ikalazimu wazazi kugharamia ada hiyo. ili kupunguza bajeti, KUPPET imeshauri serikali kukata bajeti ya shilingi bilioni 12 ya ujenzi wa madarasa zaidi ya elfu 15 na badala yake kuruhusu wanafunzi wa gredi ya 9 kuhamia katika shule za sekondari
Rais William Ruto ametangaza kusitishwa kwa uajiri wa walimu elfu ishirini
- - Duniani Leo ››
- 5 Jul 2025 - The European Union's landmark rules on artificial intelligence will be rolled out according to the legal timeline in the legislation, the European Commission said on Friday, dismissing calls from some companies and countries for a pause.
- - Family seeks justice months after Amos Lang’at shot by State House officer
- 5 Jul 2025 - These men find themselves detained for fighting in a war they know little about.
- 5 Jul 2025 - Hilton, Nakuru's slums where drug dealing is the better option
- 5 Jul 2025 - Hilton: Nakuru's slum where drug dealing is the better option
- 5 Jul 2025 - Raila Odinga's turf slams union with Ruto
- 5 Jul 2025 - When politicians leave money on the table for us
- 5 Jul 2025 - Cousins jailed for 30 years for the killing of 11 GSU officers
- 5 Jul 2025 - No, Passaris, start by fixing our lazy parenting
- 5 Jul 2025 - Silent killer: Postpartum bleeding still claims ten mothers every day