Skip to main content
Skip to main content

Rono: Tutahakikisha uchaguzi wa Chwele/Kabuchai utakuwa huru na wa haki

  • | Citizen TV
    220 views
    Duration: 1:43
    Mwenyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) Katika kaunti ya Bungoma Grace Rono amewahakikishia wapiga kura eneo hilo kuwa tume hiyo iko tayari kufanikisha zoezi la upigaji kura siku ya Alhamisi.