Skip to main content
Skip to main content

Ruto awasihi wapinzani waje na ajenda badala ya porojo

  • | Citizen TV
    456 views
    Duration: 2:07
    Rais William Ruto ameendelea kuwasuta wapinzani wake akiwataka waache kuendeleza porojo kuhusu uongozi wake. Rais Ruto aliyeendelea na ziara ya Pwani akiwa Mombasa hii leo ameendelea kusifia maendeleo yaliyofanywa na serikali yake katika miaka mitatu ya uongozi. Rais amezindua miradi kadhaa na kutoa hati za ardhi.