Skip to main content
Skip to main content

Sakata ya wanafunzi hewa sekondari yafichuka

  • | Citizen TV
    637 views
    Duration: 2:38
    Katibu wa Elimu ya Msingi Julius Bitok amefichua kwamba zaidi ya wanafunzi elfu 50,000 hewa wamekuwa wakifaidi mgao wa serikali wa shillingi elfu 15,000. Bitok amesema kuwa uchunguzi unaoendelea umefichua kwamba Idadi ya wanafunzi hawa iliongezwa katika baadhi ya shule akifichua sakata ya kufujwa kwa mabillioni ya pesa.