Skip to main content
Skip to main content

Samson Talaam na wenzake wanyimwa dhamana na mahakama katika kesi ya mauaji ya mwalimu Albert Ojwang

  • | Citizen TV
    3,064 views
    Duration: 2:16
    Mahakama ya Kibera hapa jijini Nairobi inaendelea kusikiliza kesi ya mauaji ya mwalimu Albert Ojwang huku ikiwanyima dhamana washukiwa sita akiwemo mshukiwa mkuu Samson Talaam. Kesi hiyo sasa imepangiwa kuanza kati ya tarehe 17 hadi 21 mwezi ujao