- 324 viewsDuration: 3:54Ulimwengu unapoadhimisha siku ya ugonjwa wa saratani ulimwenguni, imebainika kuwa kituo cha ugonjwa huo mjini Garissa Kinendelea kunakili idadi kubwa ya wagonjwa wa saratani ya koo sio tu kutoka eneo la Kaskazini Mashariki bali sehemu tofauti nchini hali ambayo wataalamu kwenye kituo hicho wanasema ni ya kutia hofu.