- 132 views
Kiranja wa wengi katika bunge la Seneti Dkt Bonnie Khalwale ameongoza viongozi wa eneo la Magharibi kupinga vikali ubinafsishaji wa viwanda vya sukari katika eneo hilo. Seneta huyo wa Kakamega amesema japo ni kiongozi katika serikali ya Kenya Kwanza, hilo halitamzuia kutetea haki za wenyeji wa Magharibi. Ni hoja iliyoungwa mkono na viongozi wa mrengo wa Azimio katika hafla tofauti ambao wametoa changamoto kwa spika wa bunge la kitaifa Moses Wetangula kuhakikisha hilo halitimii chini ya uongozi wake.
Seneta Khalwale apinga vikali ubinafsishaji wa viwanda vya sukari katika eneo hilo.
- 19 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has said that President William Ruto will be the one to blame if anything happens to him or if he is harmed in any way.
- 19 May 2025 - Jihadists in northeastern Nigeria are surging -- and using social media to spread the word of their campaigns and recruit fighters.
- 19 May 2025 - Government Spokesperson Isaac Mwaura has addressed the deportation of lawyer Martha Karua by the Tanzanian government.
- 19 May 2025 - President William Ruto will officially hand over 1,080 housing units at the New Mukuru Housing Estate on Tuesday.
- 19 May 2025 - After spending four days behind bars, gospel artist Alex Apoko, widely known as Ringtone, has been released on a Ksh.3 million bond or an alternative of Ksh.1 million cash bail in a multimillion fraud case.
- 19 May 2025 - Mumias East Member of Parliament Peter Salasya has been freed on a cash bail of Ksh.200,000 in a hate speech case.
- 19 May 2025 - Michael Oyamo, a former personal aide to ex-Migori Governor Okoth Obado, will have to testify first before calling his witnesses.
- 19 May 2025 - NPS, however, says it's unaware of any squad sent to Gachagua's homes.
- 19 May 2025 - The country could be hit with a full-blown crisis in the coming months.
- 19 May 2025 - Dorcas Oduor gave reasons why the petition should not be entertained by court.